Pages

Friday, November 22, 2013

HABARI KATIKA PICHA

 Mafunzo kwa vitendo chini ya mkufunzi Mkurugenzi wa jamii  Media Maxence Melo katika mafunzo ya uandishi wa habari za uchungu kwa kutumia blog kupitia ruzuku ya TMF
 Waandishi wa habari wakimsikiliza kwa makini  Mkufunzi Mkurugenzi wa jamii  Media Maxence Melo
Washiriki wakisimama kwa pamoja wakielezea walichojifunza
Mkufunzi na Mhariri uzalishaji wa Habari leo Beda Msimbe akitoa mada katika mafunzo ya uandishi wa habari za  Blog

0 comments: