Pages

Friday, July 4, 2014

MATUKIO KATIKA PICHA YA MKUTANO WA WADAU WA MFUKO WA AFYA YA JAMII MKOA WA MBEYA

Mganga Mkuu wa hospitali ya Mkoa Mhina akitoa salam katika kutano wa wadau wa mfuko wa afyua ya jamii CHF uliofanyika katika ukumbi wa hospitali ya Mkoa wa Mbeya

Mstahiki wa Meya wa jiji la Mbeya Atanas Kapunga akitoa salam zake katika mkutano huo

Meneja wa mfuko wa Taifa wa bima ya Afya Mkoa wa Mbeya  Dr Kiolile akizungumza jambo katika mityano huo


Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro akitoa hotuba yake katika mkutano huo


Waratibu wa Wilaya wa mfuko wa afya ya jamii CHF

Wenyeviti na wakurugenzi wa Halmashauri za Wilaya Mkoa wa Mbeya

Wakuu wa Wilaya za Mkoa wa Mbeya wakiwa katika mkutano huo





0 comments: