![]() |
| Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Abbas kandoro akizungumza katika maadhimisho hayo |
![]() |
| Makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Ghalib Bilali akifuzungumza na Mkurugenzi wa RC Foundation Rehema chalamila wakati alipotembelea banda la taasisi hiyo katika maadhimisho hayo |
![]() |
| Ngoma ya Lizombwe ya kabila la wangoni wakitumbuiza katika maadhimisho hayo |
![]() |
| Maandamano yakiingia katika uwanja wa ruanda nzovwe na kupokelewa na makamu rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Ghalib Bilali |
![]() |
| Bendi ya babby TOT ya Mkoani Mbeya ikitumbuiza katika maadhimisho hayo |






0 comments:
Post a Comment