Pages

Thursday, July 31, 2014

MBEYA CEMENT YATOA MSAADA WA SARUJI 1000 UJENZI WA KIWANJA CHA MICHEZO CHUNYA


 Mkuu wa Wilaya ya  Chunya Mkoani Mbeya Deodatus Kinawilo akiwa amebeba mfuko wa Saruji pamoja na  Mtendaji  mkuu wa kiwanda cha Mbeya Cement Catherin Langreney wakati akipokea saada wa tani 50  zenye thamani ya Sh15milioni  kutoka kwenye kampuni hiyo kwa ajili ya ujenzi wa kiwanja cha michezo kinachojengwa Wilayani humo.

Monday, July 28, 2014

FUNZA WA AJABU WASHAMBULIA UFUTA MOMBA

 Mkuu wa Wilaya ya Momba Abihudi Saideya



FUNZA wa ajabu wenye maumbile madogo mchanganyiko wa rangi, nyekundu, nyeusi na kijani wamevamia na kushambulia kwa kasi zao la Ufuta katika vijiji vilivyopo Tarafa ya Kamsamba wilayani Momba mkoani Mbeya.

KUSHAMILI KWA WIMBI LA WIZI WA MITA ZA MAJI,MBEYA UWSA YATANGAZA BINGO

Kisima cha maji kilichopo katika ofisi za mamlaka ya maji safi na taka jiji la Mbeya.




WIMBI la Wizi wa mita za maji  umeshamili  jijini Mbeya ambapo ndani ya miezi miwili kuanzia Juni hadi Julai  zaidi ya  mita 50  zimeibiwa.imeeelezwa

Kutokana na kuwepo kwa tatizo hilo mamlaka ya maji safi na taka jiji la Mbeya(MUWASA)imetanganza bingo kwa mtu yeyote ambaye atatoa taarifa sahihi  ya mahali ambapo mita hizo zinapelekwa atapewa fedha tasilimu Sh300,000.

ANSWAR SUNNA WAWAPINGA BOKO HARAM, ALSHABAB KWA KUJILIPUA MABOMU NA KUUA WASIO NA HATIA

Ustadhi Ibrahimu Mkate akizungumza katika Ibada ya Swala ya Idd El Fitri kwenye Viwanja vya Kiwanja Ngoma Sokomatola Jijini Mbeya jana asubuhi.

Waumini wa dini ya Kiislamu wakiwa katika Ibada ya Swala ya Idd jana asubuhi.

Waumini katika Ibada ya Swala ya Idd el Fitri Jijini Mbeya jana asubuhi.           



JUMUIYA ya waislamu wa Answar Sunna mkoani Mbeya wamesema kitendo cha mauaji na utekaji nyara kinachofanywa na makundi ya Boko Haram na Alqaida ni uovu unaopaswa kupingwa na waislamu kote duniani kwa kuwa si mafundisho ya dini hiyo.

Saturday, July 26, 2014

KANDORO AZINDUA BARABARA YA STENDI KUU META

 Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro akikata utepe katika uzinduzi wa barabara ya Stendi kuu Meta yenye urefu wa kilometa 2.1 iliyojengwa na halmshauri ya jiji la Mbeya kwa kiwango cha lami kulia kwake ni mstahiki meya wa jiji la Mbeya Atanas Kapunga,kushoto ni Mkuu waWilaya ya Mbeya Dr Norman Sigalla na  Kaimu Mkurugenzi wa halmashauri ya jiji la Mbeya Dr.Samweli Lazaro

Tuesday, July 15, 2014

HABARI KATIKA PICHA ZA MKUTANO WA BARAZA LA BIASHARA LA MKOA WA MBEYA

Wakuu wa Wilaya  za  Mkoa wa Mbeya wakiwa katika mkutano wa baraza la biashara la Mkoa ambapo wakuu hao ni wajumbe wa baraza hilo

 Wajumbe wa baraza la biashara la Mkoa wa Mbeya wakiwa katika mkutano wa baraza hilo kwa ajili ya kujadili kongamano la uwekezaji linalotarajia kufanyika Agosti mosi mwaka huu  na kuzinduliwa na Waziri mkuu Mizengo Pinda

 Wakurugenzi wa halmashauri za Wilaya ya Mbeya wakifuatilia taarifa katika mkutano wa baraza la biashara la Mkoa wa Mbeya
Mkuu wa Mkoa wa Mbeyua Abbas Kandoro akisikiliza kwa makini mada iliyokuwa ikiwasilishwa na Makamu mwenyekiti wa TCCIA Taifa Julius Kaijage katika mkutano wa baraza la biashara la Mkoa wa Mbeya katika ukumbi wa shein jijini hapa.




Wednesday, July 9, 2014

BREAKING NEWS!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Mkurugenzi wa radio ya SWEET FM na Sweet TV  Emmnuel Mbuza  amefariki dunia jana usiku jijini Dar es Salaam.tulimpenmda sana lakini mungu kampenda zaidi

Tuesday, July 8, 2014

HABARI KATIKA PICHA ZA TUKIO LA UZINDUZI WA SODA MPYA YA NOVIDA YA CHUPA

kikundi cha burudani cha Cocacola kwanza Mbeya kikitumbuiza katika uzsinduzi huo

Wafanyakazi wa kampuni ya vinywaji bariddi Cocacola kwanza Mbeya wakifurahia uzinduzi wa soda hiyo mpya ya chupa ya Novida




Wafabnyakazxi wakipata kifungua kinywa mara baada ya uzinduzi huo

 Meneja  mkuu  wa mauzo na masoko kanda ya nyanda za juu kusini  Shiraz Batchu akionyesha soda  mpaya ya chupa aiana ya Novida katika uzinduzi huo

Friday, July 4, 2014

MATUKIO KATIKA PICHA YA MUUNGANO WA JAMII TANZANIA MUJATA WAKITOA MSAADA KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO

Chifu wa kabila la  Wasangu ambaye pia ni mwenyekiti wa  maadili kwa wazee Chifu Melele akimgawia nguo mhathirika wa mafuriko Wilaya ya Kyela Mkoani Mbeya




Waathirika wa mafuriko Wilaya ya Kyela wakipiga makofi  ikiwa ni ishara ya kufurahia msaada wa nguo uliotolewa na mujata

PICHA KATIKA MATUKIO YA WARSHA YA BARAZA LA USIMAMIZI WA MAZINGIRA NEMC KWA MAOFISA MALIASILI NA MAZINGIRA KANDA YA NYANDA ZA JUU KUSINI


Kaimu mkurugenzi wa NEMC akizungumza katika warsha hiyo

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro akifunngua Warsha hiyo

Washiriki wa warsha hiyo kutoka mikoa ya nyanda za juu kusini kusini

MATUKIO KATIKA PICHA YA MKUTANO WA WADAU WA MFUKO WA AFYA YA JAMII MKOA WA MBEYA

Mganga Mkuu wa hospitali ya Mkoa Mhina akitoa salam katika kutano wa wadau wa mfuko wa afyua ya jamii CHF uliofanyika katika ukumbi wa hospitali ya Mkoa wa Mbeya

Mstahiki wa Meya wa jiji la Mbeya Atanas Kapunga akitoa salam zake katika mkutano huo

Meneja wa mfuko wa Taifa wa bima ya Afya Mkoa wa Mbeya  Dr Kiolile akizungumza jambo katika mityano huo


Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro akitoa hotuba yake katika mkutano huo


Waratibu wa Wilaya wa mfuko wa afya ya jamii CHF

Wenyeviti na wakurugenzi wa Halmashauri za Wilaya Mkoa wa Mbeya

Wakuu wa Wilaya za Mkoa wa Mbeya wakiwa katika mkutano huo





MATUKIO KATIKA PICHA YA MAADHIMISHO YA SIKU YA KUPINGA MATUMIZI YA MADAWA YA KULEVYA

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Abbas kandoro akizungumza katika maadhimisho hayo

Mkurugenzi wa RC Foundation Rehema Chalamila akitoa ushuhuda wake kutokana na matumizi ya madawa ya kulevya na kumsababishia kutoa machozi mbele ya umati mkubwa wa watu waliohudhuria katika maadhimisho hayo