Pages

Saturday, January 24, 2015

Mbeya Queens yafuzu Robo fainali Taifa Cup baada kuchapa Katavi mabao 12-0

  Mshambuliaji machachari wa timu ya Soka ya   Mbeya Queens Diana Lucas akimtoka mlinzi wa timu ya Katavi katika ligi ya Taifa iliyofanyika kwenye uwanja wa kumbukumbu ya sokoine jijini mbeya, Mbeya Queens ilishinda mabao 12-0 ambapo yeye alifunga mabao manne.