Pages

Thursday, February 26, 2015

KAMANDA WA POLISI MKOA WA MBEYA

Kamanda wa polisi Mkoa wa Mbeya Ahmed Msangi akizungumza na Waandishi wa habari  ofisini kwake kuhusiana na hali ya utulivu katika Mkoa wa Mbeya

LIGI DARASA LA NNE YAANZA MBEYA VIJIJINI

 KULIA ni Gordon Kalulunga akifuatiwa na Christopher Nyenyembe, wakikabidhi mpira aina ya Jabulani kwa wanafunzi wa shule ya Msingi Izumbwe na Ofisa Mtendaji wa kata ya Igale wilaya ya Mbeya Vijijini mkoani Mbeya jana. Zawadi hiyo imetokana na marafiki wa Kaluunga ndani ya jimbo hilo, nje ya Jimbo, mkoa na nje ya Tanzania.

WAZIRI MKUU PINDA AZINDUA SOKO KUU LA MWANJELWA

Waziri Mkuu Mizengo Pinda akizungumza mara baada ya kukamilisha zoezi la uwekaji wa jiwe la Msingi katika soko mradi wa soko la kimaifa la mwanjelwa jijini Mbeya ikiwa ni sehemu ya ziara yake kutembelea shughuli mbalimbali za  kimaendeleo zinazo tekelezwa na serikali pamoja na wadau wa maendeleo katika Mkoa huo Feb 26 ,2015. - See more at: http://jamiimoja.blogspot.com/2015/02/waziri-mkuu-mizengo-pinda-ataka-usawa.html#sthash.839y8RRF.dpuf
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwahutubia wafanyabishara na soko la Mwanjelwa ,ara baada ya kuweka jiwe la msingi katika soko hilojipya la kisasa.

SAFARI LAGER YATANGAZA BAR 5 ZILIZOINGIA FAINALI NYAMA CHOMA MBEYA 2015.

 Meneja matukio wa Tbl Nyanda za juu Kusini, Abubakari Masoliakizungumza na vyombo vya habari alipokuwa akitangaza Bar zilizotinga fainali ya Safari lager nyama choma Mkoani Mbeya lijulikanalo kama “Safari Lager Nyama Choma Competition 2015”

Monday, February 9, 2015

UWAMU Saccos watoa msaada wa Madawati 100 Mbeya

 Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Dr Norman Sigalla akiwa katika picha ya pamoja na Wanafunzi wa shule ya msingi baada ya kupokea msaada wa madawati 100 yenye thamani ya Sh5milioni kutoka kwa chama cha akiba na mikopo (Uwamu Saccos)  cha bonde la Uyole jijini Mbeya.