Pages

Wednesday, November 26, 2014

KAMPUNI YA UNUNUZI WA KAHAWA MBEYA YA CMS YATOA MSAADA WA MIFUKO YA SARUJI RUNGWE


 Mkurugenzi  Mkuu wa kampuni  ya kununua kahawa Mkoani Mbeya (CMS)Yogesh Modhwadia akiwa na Mkurugenzi  mtendaji wa halmashauri ya Wilaya ya Rungwe Mkoani Mbeya

Thursday, November 6, 2014

MFUKO WA MAFAO YA KUSTAAFU (GEFP)WAFUNGUA OFISI ZA KANDA MBEYA

 MENEJA wa masoko wa GEFAloyce Ntukamanzina , akiwa katika hafla fupi ya uzinduzi wa ofisi za kanda ya nyanda za kuu kusini ziliopo Delha House Lupaway Uhindini  jijini Mbeya

Saturday, November 1, 2014

MADIWANI MOMBA NUSURA WARUSHIANE MAKONDE NDANI YA KIKAO CHA BARAZA

 Diwani wa kata ya Chiwezi (CCM) Emmanuel Punte  Wilaya ya Momba  Mkoani Mbeya aliyenyosha mkono akirushiana maneno na Diwani wa kata ya Tunduma Frank Mwakajoka  na kusababisha kutaka kurushiana ngumi katika kikao cha baraza la madiwani la halmashauri hiyo.

WANANCHI MBOZI WAFUNGA BARABARA KWA MASAA MATATU

 Wananchi  wa kijiji cha Luhanda Wilaya ya Mbozi Mkoani Mbeya wakiwa wamefunga barabara kwa mawe na magogo mara baada mwenzao kugongwa na roli na kufa papo hapo na kusababisha abiria na magari kutoka ndani na nje ya nchi kukwama kwa muda wa masaa matatu huku mwili wa marehemu ukiwa pembeni ya barabara hiyo.

DR MWAKYEMBE ACHANGIA MIFUKO 950 YA SARUJI,UJENZI WA MAABARA KYELA

 Kontena likiwa limejaa mifuko 950 ya Saruji yenye thamani ya Sh 18milioni iliyotolewa na mbunge wa jimbo la Kyela Dk Harrison Mwakyembe kwa ajili ya kuchangia ujenzi wa maabara katika shule za sekondari za Wilayani Kyela
 Mkuu wa Wilaya ya Kyela Magreth Malenga akipokea mifuko ya saruji 950 yenye thamani ya Shilingi milioni 18 kutoka kwa mwakirishi wa mbunge wa jimbo la Kyela Dr Harrison Mwakyembe,Richard Kilumbo kwa ajili ya kuchangia ujenzi wa maabara katika shule za Sekonsari za Wilaya Kyela ambapo kila shule itakabidhiwa mifuko 50