Pages

Friday, August 29, 2014

AJALI YA YAUA WATU 10 MBEYA AKIWEMO MAMA NA MTOTO WAKE

 Wakati wa mji mdogo wa Mbalizi  Wilaya ya Mbeya waangalia  gari iana Toyota Hiace lililogongana na roli aina ya Fuso na kusabnabisha watu 10 kufa papo hapo akiwemo mama na mtoto wake na wengine nane kujeruhiwa katika eneo lililo karibu na kituo cha mafuta barabara kuu ya kutoka Mbeya kwenda Tunduma.

Thursday, August 28, 2014

WAFANYAKAZI WA TAZARA WATISHIA MGOMO BARIDI KWA KUTOLIPWA MIEZI MITANO

 WAFANYAKAZI TAZARA WATISHIA MGOMO BARIDI KWA KUTOLIPWA MIEZI MITANO
Mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi SUGU akipewa maelezo na mmoja wa wafanyakazi wa Reli ya TAZARA ambao hawajalipwa mishahara kwa miezi mitano.

KANDORO AIOMBA SERIKALI KUU KUMALIZA MGOGORO WA KAPUNGANA


 Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro  akizungumza ofisini kwake na Waziri wa Kilimo,Chakula na Ushirika  Mhandisi Christopher Chiza mara baada ya kumtembelea ofisini kwake jana

SKIMU YA UMWAGILIAJI YABOMOKA KABLA YA KUTUMIKA WILAYANI MOMBA

Skimu ya umwagiliaji iliyopo Iyendwe Wilaya ya Momba Mkoani Mbeya   ilijengwa kwa gharama zaidi ya Sh400milioni chini ya usimamizi wa ofisi ya mwagiliaji kanda ya Mbeya imebomoka kabla ya kuanza kutumika kutokana na kujengwa chini ya kiwango

BWAWA LILILOJENGWA KWA SH 3.077 LABOMOKA KABLA YA KUANZA KUTUMIKA

 Waziri wa Kilimo,Chakula na Ushirika Mhandisi Christopher Chiza akijishika kichwa baada kushuhudia mradi wa bwawa  kwa ajili ya skimu ya mwagiliaji ya Lwanyo Wilaya ya Mbarali ambayo ujenzi wake umegharimu kiasi cha  fedha  Sh3.077bilioni,kujengwa chini ya kiwango  na kusababisha  bawawa hilo kubomoka kabla ya kuanza kutumika.

Sunday, August 24, 2014

VIJANA CCM WATAKIWA KUJITOKEZA KWA WINGI KATIKA KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI,UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA

 Mjumbe wa baraza kuu la UVCCM Taifa Neema Mwandabila akitoa hotuba yake wakati wa ufunguzi wa baraza hilo Wilaya ya Chunya lililofanyika katika ukumbi wa chama hico Wilayani humo

BARAZA LA UVICCM WILAYA YA CHUNYA LAFANYIKA KWA VIJANA KUTAKIWA KUSIMIAMIA NA KUDHIBITI MAADILI YA WANACHAMA NA VIONGOZI WAO

 Mwanachama na mkereketwa wa CCM  Wilaya ya chunya Joshua Mlambalala  akitoa malalamiko yake kuhusu Taasisi ya kupumbana na kuzuia Rushwa (TAKUKURU) Wilaya ya Chunya,katika semina fupi iliyofanyika kabla ya kuanza baraza la UVCCM Wilayani humo katika ukumbi wa chama hicho.

Friday, August 22, 2014

TMF YAWAPIGA MSASA WAANDISHI WA HABARI MBEYA JINSI KUANDAA MAWAZO YA HABARI

 Ofisa wa TMF Japhet Sanga akizungumza katika mkutano wa siku moja  baina ya waandishi wa habari na TMF jinsi ya kupata fedha za Ruzuku kwa ajili ya kuandika habari za uchunguzi uliofanyika katika ukumbi wa GR City Hotel jijini Mbeya
 Mwandishi mkongwe Ndimara Tegambwage akielezea jinsi ya kuandaaa mawazo ya habari kwa ajili ya kupata fedha za ruzuku kutoka TMF na kufanya kazi ya uandishi wa habari za uchunguzi

Thursday, August 14, 2014

MJUMBE WA NEC SHITAMBALA APANDISHWA KIZIMBANI



Pichani ni Mjumbe wa halmashauri kuu ya  CCM Taifa (NEC) na Wakakili wa kujitegemea Sambwee Shitambala(wa kwanza kulia)  akifurahia jambo na wakili anayemtetea Tasco Luambano  mara baada ya kufikishwa  katika mahakama ya hakimu mkazi Wilaya ya Mbeya kwa shitaka la kuingia kwa  jinai na kujenga nyumba katika viwanja viwili eneo la Gombe Uyole jijini Mbeya mali ya Jaswinder Palsigh.

Monday, August 11, 2014

MAELFU YA WATU WASHONANA KATIKA BANDA LA COCACOLA KUMSHUHUDIA IZZO B

 Msanii wa bongo fleva IZZO B akitumbuiza katika banda la Cocacola Kwanza siku ya nanenane katika viwanja vya nanenane kanda ya nyanda za juu kusuni jijini mbeya
 IZZO B akiimba kwa hisia wimbo wake wa tumoghele huku akishangiliwa maelfu ya watu waliojitokeza kumshudia katika banda la Cocacola kwanza katika viwanja vya maonyesho ya nanenane jijini Mbeya

WENGI WAJITOKEZA KWENYE BANDA LA MBEYA CEMENT(LAFARGE)

 Ofisa wa  kampuni ya LAFARGE akitoa maelekezo juu ya tofari zilizotengenzwa kwa saruji inayozalishwa na kiwanda hicho kwa gharama nafuu




 Wanafunzi wakipata maelezo kutoka mmoja wa wafanyakzi wa kamp[uni ya LAFARGE katika maonyesho ya nane nane kanda ya nyanda za juu kusini



Ofisa wa kiwanda  ya saruji Mbeya (LAFARGE) Prisca Kalinga alitoa maelezo ya bidhaa zinazozalishwa na kiwanda hicho  kwa wageni waliitembelea  banda  la kampuni hiyo katika maonyesho ya nanenane kanda nyanda za juu kusini

AIRTEL KANDA NYANDA ZA JUU KUSINI WAFIUNGWA MABAO 2-0 DHINI YA TIMU YA VIJANA U-17

 Katibu wa chama cha mpira wa soka Mkoa wa Mbeya (MREFA)Seleman Harubu akikagua timu ya kampuni ya Airtel kanda nyanda za juu kusini kwa ajili ya kuanza mechi dhidi ya  timu ya vijana U-17 ya Mkoa wa Mbeya mchezo uliochrezwa katika kiwanja cha chuo cha ufundi VETA jijini Mbeya ambapo timu hiyo ya Airtel ilifungwa mabao 2-0.
Katibu wa chama cha mpira wa soka Mkoa wa Mbeya (MREFA)Seleman Harubu akikagua   ya vijana umri chini ya miaka 17 mkoa wa Mbeya  kwa ajili ya kuanza mechi dhidi ya  ya Airtel kanda nyanda za juu kusini mchezo uliochezwa katika kiwanja cha chuo cha ufundi VETA jijini Mbeya ambapo timu hiyo ya Airtel ilifungwa mabao 2-0.

 Mgeni rasmi katika mchezo huo Katibu wa chama cha soka Mkoa wa Mbeya Seleman Harubu akizungumza na wachezaji wa timu zote mbili hawapo picha
 Wachezaji wa timu zote mbili wakisalimiana tayari wa kuanza mechi
Timu ya Airtel  ikipasha kabla ya kuanza kwa mechi




 Timu ya Airtel ikiwa katika picha ya pamoja
 Kipa wa timu ya Airtel akijaribu kuokoa  goli la pili lakini haikuwa bahati


AMBASPO BINGWA MASHINDANO AIRTEL RISING MKOA WA MBEYA

Nahodha wa timu ya vijana chini ya umri wa miaka 17 ya Mbaspo Academy Boaz Mwire akiwatambulisha wachezaji wenzake kwa mgeni rasmi meneja wa kanda ya nyanda za juu kusini Straton Mushi katika fainali za mashindano hayo baina ya timu hiyo ya Mbaspo Academia ambayo ilishinda kwa mabao 4 - 1 dhidi ya Elimu kutoka mbarali mchezo uliochezwa kwenye uwanja wa kumbukumbu ya sokoine jiji mbeya

 Nahodha wa timu ya vijana chini ya umri wa miaka 17 ya Mbaspo Academy Boaz Mwire akipokea Kombe la  kutoka kwa  mgeni rasmi meneja wa kanda ya nyanda za juu kusini Straton Mushi baada ya kushinda mabao 4 - 1 dhidi ya Elimu kutoka mbarali mchezo uliochezwa kwenye uwanja wa kumbukumbu ya sokoine jiji mbeya kutwaa ubingwa huo kwa mara ya pili.

Thursday, August 7, 2014

UHONDO WA MAONYESHO YA NANENANE NDANI YA BANDA LA COCACOLA KWANZA



Mmoja wa watoto waliopanda jukwaani kucheza muziki katika banda la Cocacola kwanza katika maonyesho ya nane nane kanda ya nyanda za juu kusini

JESHI LA POLISI LAWATAWANYA WAFUASI WA CHADEMA KWA MABOMU YA MACHOZI

 Mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema John Mwambigija akizungumza na mkuu wa polisi Wilaya  ya Mbeya (OCD) Richard Mchomvu mara baada ya kuzuiliwa kubeba maiti mkononi ya Mwenyekiti wa serikali ya mtaa Ezekiel King aliyefariki dunia juzi mara baada ya kuugua ghafla  gerezani wakati  akitumikia kifungo cha miaka saba

Wednesday, August 6, 2014

BURUDANI YA COCACOLA KWANZA KATIKA MAONYESHO YA NANE NANE

 Mtoto aliyefahamika kwa jina la Jeremiah akionyesha kipaji chake cha kucheza muziki katika banda la Cocacola kwanza kwenye maonyesho ya nane nane kanda ya nyanda za juu kusini jijini Mbeya

Monday, August 4, 2014

COCACOLA KWANZA YATOA BURUDANI KABAMBE KATIKA MAONYESHO YA NANENANE


 Mcheza show wa kikundi cha muziki  cha jijini Mbeya akitoa burudani katika banda la Cocacola katika maonyesho ya Nane nane kanda ya nyanda za juu kusini katika viwanja vya John Mwakangale jijini Mbeya.

Sunday, August 3, 2014

WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA KATIKA MABANDA YA MAONYESHO YA NANENANE MBEYA

Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiangalia muhindi ambao umezalishwa kwa mbegu bora kutoka kituo cha utafiti Ari Uyole jiji Mbeya  alipotembelea mabanda katika maonyesho ya  wakulima na wafugaji nane nane jijini Mbeya

Saturday, August 2, 2014

WAZIRI MKUU PINDA AZINDUA STENDI MPYA YA BASI MBEYA



 Waziri mkuu Mizengo Pinda akisalimiana na wakuu wa Wilaya baada ya kuingia katika eneo la stendi  mpya ya nane nane iliyojengwa na halshauri ya jiji la Mbeya kwa ufadhili wa benki ya dunia

RC KANDORO, OFISA UHAMIAJI WABARIKI SAFARI YA WANAHABARI NCHINI MALAWI ,ZAMBIA MAANDALIZI YAELEKEA UKINGONI

 Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Abbas KANDORO akitoa baraka za safari kwa wanahabari ofisini kwake leo asubuhi juu ya ziara yao ya kimafunzo katika nchi za MALAWI na ZAMBIA katikati ya mwezi Agosti