Pages

Sunday, December 6, 2015

WCS & USAID ILIVYOWAWEZESHA WANA TAJATI KUTEMBELEA HIFADHI YA KITULO

WCS chini ya Ufadhili wa USAID iliwawezesha chama cha wanahabari za Utalii na Uwekezaji Tanzania TAJATI kutembelea Hifadhi ya Taifa ya Kitulo



Mbunge wa Makete Dkt Norman Sigalla alipata firsa ya kuzungumza na wana TAJATI walipotembelea kwenye ofisi za Halmashauri ya wilaya ya Makere

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Makete Francis Namaumbo akizungumza na wanahabari wana TAJATI(pichani chini)waliotembelea ofisini kwake

Baadhi ya wanahabari wana TAJATI wakifuatilia maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Halmshaudri ya wilaya ya Makete(picha juu) walipotembelea ofisini kwake miwshoni mwa wiki.

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Makete Francis Namaumbo akiwa katika picha ya pamoja na wanahabari wana TAJATI walipotembelea halmashauri ya Makete mwishoni mwa wiki.

Mmiliki wa Blogu hii Brandy Nelson akizungumza jambo kwenye kikao kilichowakutanisha wanahabari wana TAJATI na mhifadhi wa hifadhi ya Taifa ya Kitulo

Wanahabari wakifuatilia jambo kutoka kwa mhifadhi mkuu wa hifadhi ya Taaifa Kitulo

Wanahabari wana TAJATI wakiwa katika picha ya pamoja na watendaji wa Hifadhi ya Taifa Kitulo


Wanahabari wana TAJATI wakiwa mbele ya bango linalotambulisha Hifadhi ya Taifa ya Kitulo

Faraja Dembe Ofisa kutoka WCS akiwaonesha wanahabari maeneo na mipaka ya Hifadhi ya Kitulo


Wanahabari wakivinjari katika uwanda wa maua kwenye Hifadhi ya Taifa ya Kitulo walipotembelea mwishoni mwa wiki

Wanahabari Brandy Nelson na Esther Macha wakijiselfisha walipotembelea kwenye Hifadhi ya Taifa ya Kitulo wilayani Makete mkoani Njombe


Wanahabari wakiwa kwenye mpaka wa Mkoa wa Mbeya na Njombe walipokuwa wakirejea kutokea wilayani Makete mkoani Njombe

0 comments: