Pages

Thursday, December 12, 2013

HABARI KATIKA PICHA

Mhariri wa makala  wa Gazeti la Mwananchi  Florian Ndyesumbilahi  akibadilishana mawazo na  mwakilishi wa gazeti la Uhuru Mkoa wa Iringa na Mwenyekiti wa UVCCM  Mkoa wa Iringa Tumain Msowoya  katika  mafunzo ya haki za afya ya uzazi kwa vijana  yaliyoandaliwa na AMREF  na kufanyika katika chuo kikuu cha kilimo  cha Sokoine(SUA)mjini Morogoro 
Afisa wa programu ya sheria na uwajibikaji  wa  vyombo vya habari katika baraza la habari Tanzania (MCT) uwajibikaji Paul Mallimbo aliyebeba kompyuta mpakato (LAPTOP) akisikiliza majadiliano ya washiriki wa   wa mafunzo ya Haki za afya  ya uzazi kwa vijana yaliyoandaliwa naAMREF mjini Morogoro.
washiriki wa   wa mafunzo ya Haki za afya  ya uzazi kwa vijana yaliyoandaliwa naAMREF mjini Morogoro wakifanya kazi za vikundi 

0 comments: