Pages

Wednesday, February 26, 2014

Habari katika picha

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro akishuka kutoka juu ya Tenki la maji lenye ujazo wa lita 500,000  katika mradi wa maji safi na mazingira katika kijiji cha Igurusi Wilaya ya Mbarali Mkoani Mbeya

 Kaimu mganga mkuu wa Wilaya ya Mbarali Dk.Sebastian Siwale akimuonyesha mkuu wa Mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro chumba cha upasuaji kwa wakina mama wajawazito katika kituo cha afya cha madibira Wilayani humo.
 Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro akizungumza na wananchi wa kijiji cha Miyobweni Wilaya ya Mbarali kuhusu kushiriki katika kuchangia shughuli za maendeleo
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro akiangalia tenki la maji katika shule ya sekondari Madibira  Wilaya ya Mbarali lililojengwa kwa lengo la kuhifadhi maji .

0 comments: