Pages

Monday, February 10, 2014

KAMPUNI YA BIA YA SERENGETI YATOA ZAWADI YA PROJECTOR KWA WATEJA WAKE

Meneja masoko wa  kampuni ya bia ya Serengeti (SBL) kanda ya nyanda za juu kusini Jonathan Masenya akimkabidhi zawadi ya Projektor Meneja wa Meneja masoko wa  kampuni ya bia ya Serengeti (SBL) kanda ya nyanda za juu kusini Jonathan Masenya Jenifer Ambilikile baada ya baa hiyo kupata ushindi wa kukua kwa asilimia 25(PROJECT USHINDI) ambapo baa hiyo ilipata ilizawadiwa  seti ya Projetor ,Viti 48 na meza 12.



Meneja masoko wa  kampuni ya bia ya Serengeti (SBL) kanda ya nyanda za juu kusini Jonathan Masenya akiwa kwenye maandalizi ya kutoa zawadi  ya Projector  kwa baa ya Mama mwaji iliyopo katika viwanja wa maonyesho ya nane nane jijini Mbeya

0 comments: