Pages

Tuesday, March 25, 2014

Jumuia ya watumia maji wa mbonde dogo la mto Kisongo wakiwa katika picha ya pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Ludewa Mkoani NjombeJuma Madaha mwenye suti nyeusi katikati  mara baada ya uzinduzi wa jumuia hiyo wa kwanza kulia kwake ni Afisa wa maji wa bonde la ziwa Nyasa Witgal Nkondola,Mkurugenzi wa halmashauri ya Wilaya ya Ludewa Wiliam Waziri na Mwenyekiti wa Juwamaki Mary Mwinuka

0 comments: