Pages

Tuesday, March 25, 2014

Mwenyekiti wa Jumuia  ya watumia maji wa bonde dogo la  mto Kisongo ( Juwamaki) Mary Mwinuka akipokea meza na viti zilizotolewa na ofisi ya Bonde la ziwa Nyasa kwa ajili ya ofisi ya jumuia hiyo anayeshuhudia mwenye suti nyeusi ni Mkuu wa Wilaya ya Ludewa Mkoani Njombe Juma Madaha.

0 comments: