Pages

Friday, March 28, 2014

Mmliki wa mtandao huu Brandy Nelson baada kufanikiwa kuvuka mto wa pili  kati ya minne  katika safari yake ya kwenda shule ya msingi yala ambayo Wanafunzi na Walimu wa shule hiyo wanashindwa kufika shuleni hapo kwa ajili ya kuendelea na masoko wakati wa masika ambapo Mwandishi huyo alifanikiwa kufika shuleni hapo na kukuta hakuna Walimu na Wafunzi katika shule hiyo

0 comments: