Pages

Saturday, September 19, 2015

MBEYA CITY YAPIGISHWA LIGWARIDE NA PRISON YATANDIKWA 1-0

Wachezaji wa timu ya Tanzania Prison wakishangilia goli mara baada ya timu yao kushinda kwa kuifunga timu ya Mbeya City Bao 1-0 katika mchezo uliofanyika uwanja wa kumbukumbu ya Sokoine leo jioni.


Kikosi cha Mbeya City kilichopigishwa kwata na wajelajela timu ya Prison kwenye uwanja wa Sokoine leo jioni

Kikosi cha Tanzania Prison kilichowapigisha kwata Mbeya City leo jioni.

Kocha wa timu ya Mbeya City Juma Mwambusi akitafakari jambo katika benchi la timu yake katika mchezo wa ligi kuu iliyozikutanisha timu hizo, Mbeya City alipachikwa bao 1-0

Kocha wa Prison Salum Mayanga akiwa katika benchi la Ufundi katika mchezo uliozikutanisha timu hizo leo jioni, ;Prison ilitoka kifua mbele kwa kuichapa Mbeya City Ba0 1-0

Baadhi ya wanahabari wakifuatilia mechi ya ligi kuu kati ya Mbeya City na Prison, matokeo katika mchezo huo Prison iliichapa , Mbeya City bao 1-0


0 comments: