Pages

Sunday, September 13, 2015

NI SIKU YA MWANAHABARI ANNA NKINDA NA MJEDA JULIUS NTIBASANA

Rahaa ya ndoaa Anna Nkinda akiwa amebebwa na mumewe Julius Ntibasana baada ya kufungwa ndoa yao mjini Dodoma 

Bibi harusi Anna Nkinda akiwa katika pozi baada ya kufunga ndoa na mumewe Julisu Ntibasana

Hata ndege huruka pamoja na kufurahia maisha!! nanyi mfurahie maisha ya ndoa yenu Mungu awabariki Anna na Julius


0 comments: