Pages

Monday, September 7, 2015

NDEREMO NA VIFIJO SENDOFF YA MWANAHABARI ANNA NKINDA-MBEYA


Mmiliki wa Blogu hii Brandy Nelson akiongozana na wanahabari nwenzie kwa ajili ya kumtunza mwanahabari mwenzao Anna Nkinda kwenye SendOff iliyofanyika katika  ukumbi wa kanisa la Kilutheri Jijini Mbeya mwishoni mwa wiki iliyopita


Tumpambe Dadaetu!!! Tumpambe Maua!!! ndivyo ambavyo wanaoenekana wanahabari Charles Mwakipesile na Brandy Nelson wakati wakimtuza mwanahabari mwenzao Anna Nkinda wakati wa SendOff yake mwishoni mwa wiki




Nao wafanyakazi kutoka Idara ya Habari Maelezo Bw. Mwakilasa na Bibi Mwasandube wakimtunukia zawadi Anna Nkinda wakati wa SendOFF kwenye ukumbi wa kanisa la Kilutheri Jijini Mbeya.
Sherehe iliendelea kunoga

Anaameremetaaaaa!!!!








Bibi harusi mtarajiwa akimlisha keki mmoja wa wapambe wake!!!! ni rahaaa tuuuu!!!!

Asante mama kwa kunilea na kunikuza hadi leo unanikabidhi kwa wengine!!! ndivyo anavyoonekana kusema Anna Nkinda wakati akimkabidhi mama yake Keki

0 comments: