Pages

Friday, December 27, 2013

Wabunge muige mfano wa mbunge huyu

 Mbunge wa jimbo la Songwe Wilaya ya Chunya ambaye pia ni Naibu Waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi Philip Mulugo akifanya maandalizi ya kuzigawa fedha kiasi cha sh.11.5 kwa ajili ya kuzitoa kama msaada kwa vikundi  23 vidogovidogo vya ujasiliamali (VICOBA) hafla iliyofanyika Mkwajuni  jana  ambapo kila kikundi kimepata  Sh.500,000.
Mwemyekiti  wa VOCOBA jimbo la Songwe  Wilaya ya Chunya Mkoani Mbeya Azizi Adam akimwangalia kwa makini mbunge wa jimbo la Songwe Philip Mulugo wakati akizipanga fedha hizo kiasi cha Sh 11.5 milioni kwenye kiti tayari  kuzikabidhi kwa viongozi wa vikundi hivyo

"MULUGO  ahadi umepata"ndiyo kauli mbiu ya mbunge huyo jimboni kwake  akiwa na lengo la kutimiza ahadi kwa wapiga kura wake hapo akiwa ameshika  fedha kiasi cha sh.miloni 11.5 kwa ajili ya kuzikabidhi vikundi vya VICOBA jimboni kwake juzi

"MULUGO  AHADI UMEPATA'"

0 comments: