Pages

Wednesday, February 5, 2014

HABARI KATIKA PICHA

 Mwandishi wa habari wa TBC 1 Hosea Cheyo akiwa kazini katika skimu ya  umwagiliaji katika kijiji cha mshewe Wilaya ya Mbeya vijijini.

Mkuu wa mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro akisikiliza maelezo kuhusu shamba la mfano lililopandwa bila kulimwa kwa lengo kutunza mazingira(kilimo hifadhi) kwa kuzuia mmomyoko katika kikijiji cha mshewe  kutoka kwa mkulima Philimon Mwajegele.

0 comments: