Pages

Thursday, February 6, 2014

Habari katika picha

Mwandishi wa habari na mtangazaji wa baraka FM Charles Mwaipopo wa kwanza kushoto na mwandishi wa gazeti la  jambo leo Moses Ng`wati  wa katikati wakipokea maelekezo kutoka kwa Mwandishi wa mkongwe Ulimboka Mwakilili baada ya kukutana katika maeneo ya Posta jijini Mbeya .

0 comments: