Pages

Wednesday, June 11, 2014

HABARI KATIKA PICHA ZA TUKIO LA KIKAO CHA KWANZA CHA KAMATI YA MAANDALIZI YA HARUSI YA JOHN MTUMURI (mchina wa soweto)

Bwana Harusi Mtarajiwa  John Mtumuri akikabidhi fedha kwa mtunza hazina  Akibearali Mbuta wa kamati ya maandalizi ya harusi yake inayotarajiwa kufungwa mwishoni mwa mwezi Agosti mwaka huu,

Wajumbe wa kamati ya maandalizi ya harusi hiyo wakiwa kwenye kikao cha kwanza

Wajumbe wa kamati ya maandalizi wakipata chakula katiika kikao cha kwanza

Mtunza hazina na Bwana harusi wakiwa katika mchakato kupokea ahadio za wajumbe wa kamati hiyo

 Mjumbe wa kamati ya maadalizi ya harusi hiyo Lugano Mwangobola akichukua chakula
Nyuma aliyeshika kipaza sauti  ni mwenyekiti wa kamati ya maandalizi Adam Mwakatumbula akipokea ahadi kutoka kwa wajumbe

 Bwana harusi mtarajiwa John Mtumuri akijadiliana jambo na Mtunza hazina wa kamati hiyo Akberali kwenye kikao cha kwanza cha maandalizi ya harusi yake.
 Mjumbe wa kamati Samwel Access computor akitoa ahadi yake mbele ya Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi Adam Mwakatumbula
 Wajumbe wakichukua chakula kilichoandaliwa kwa jali ya kikao cha kwanza
 Wajumbe wa kamati ya maandalizi wakiwa kwenye kikao
Viongozi wa kamati wakijadiliana na jambo
 Wajumbe wa kamati wakiendelea na kikao
 Mmoja wa Wajumbe wa kamati hiyo Yona Mwakalasya (Nafuu Phone) akimsikiliza kwa makini Mwenyekiti wa kamati hayupo pichani.

Wakina mama wa Soweto hawakuwa nyuma katika kumuunga mkono John Mtumuri katika kikao cha kwanza cha kamati ya maandalizi ya harusi yake

Wakina mama wakiwa wamevalia sare katika kikao cha kwanza cha kamati ya maandalizi ya harusi ya John Mtumuri

0 comments: