Pages

Sunday, February 28, 2016

WANATAJATI WALIPOTEMBELEA SURPRISE BEACH MAKAMBAKO

Waandishi wa habari za Utalii na Uwekezaji Tanzania (TAJATI) wakiwa wamebarizi kwenye ufukwe wa Kigamboni uliopo mjini Makambako mkoani Njombe walipoenda kutembelea eneo hilo la kipekee la utalii nchini

Wanatajati wakiangalia mandhari ya Surprise Beach iliyopo Makambako

Wanahabari Christopher NYENYEMBE na Brandy Nelson wakiwa ndani ya Bahari wakivuka na boti kutokea Kigamboni Jijini Dar es Salaam mandhari hii iko Makambako mkoani Njombe katika Beach maarufu ijulikanayo kwa jina la Surprise




Mkurugenzi wa Star Intergrated ya Makambako mkoani Njombe inayomiliki Surprise Beach Mr Kyando akizungumza na na waandishi wa habari za Utalii na Uwekezaji (TAJATI) waliotembelea Ufukwe wa Surprise mwishoni mwa wiki (kulia)Makamu Mwenyekiti wa TAJATI Christopher Nyenyembe
,
Waandishi wa habari za Utalii na uwekezaji Tanzania(TAJATI)wakiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi wa Star Intergrated Mr Kyando, kutoka kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mahusiano wa TAJATI Felix Mwakyembe,Katibu Mkuu wa TAJATI Venance Matinya,Mweka hazina wa TAJATI Brandy Nelson,Makamu Mwenyekiti wa TAJATI Christopher Nyenyembe na Mratibu wa TAJATI mkoa wa Njombe Mercy Sekabogo

Mfano wa Mlima Kilimanjaro uliopo kwenye kivutio cha Utalii cha Surprise Beach Makambo mkoani Njombe

Waandishi wa habari za Utalii na Uwekezaji wakiendelea kutembelea maeneo mbalimbali ya utalii ndani ya Surprise Beach iliyopo Makambako mkoani Njombe






WanaTAJATI wakiwa kwenye UFUKWE wa Suprise Makambako mkoani Njombe




0 comments: